Swali: Twatarajia utuwekee wazi ujira wa mwanamke mwenye kuzaa na Du´aa yake wakati wa kuzaa ni yenye kujibiwa?
Jibu: Bila ya shaka Du´aa ya mwenye kudhikika ni yenye kujibiwa:
أَمَّن يُجِيبُ الْمُضْطَرَّ إِذَا دَعَاهُ |
“Au Yule Anayemuitika aliyedhikika anapomwomba.” (27:62) |
Du´aa ya mwanamke pia wakati wa kuzaa kwake ni Du´aa ya mwenye kudhikika, ni mwenye kudhikika wakati wa kuzaa. Ni mwenye kujibiwa kwa idhini ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo_%20maftuh-20-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Twatarajia utuwekee wazi ujira wa mwanamke mwenye kuzaa na Du´aa yake wakati wa kuzaa ni yenye kujibiwa?
Jibu: Bila ya shaka Du´aa ya mwenye kudhikika ni yenye kujibiwa:
أَمَّن يُجِيبُ الْمُضْطَرَّ إِذَا دَعَاهُ
“Au Yule Anayemuitika aliyedhikika anapomwomba.” (27:62)
Du´aa ya mwanamke pia wakati wa kuzaa kwake ni Du´aa ya mwenye kudhikika, ni mwenye kudhikika wakati wa kuzaa. Ni mwenye kujibiwa kwa idhini ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo_%20maftuh-20-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-mwanamke-wakati-wa-kuzaa-ni-yenye-kujibiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)