Swali: Du´aa ya kuingia chooni inasomwa kabla ya kuingia au wakati wa kuingia?
Jibu: Ni kabla ya kuingia. Aisome kabla hajaingia. Anapokuwa tayari kishaingia imechukizwa akamdhukuru Allaah ndani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340323.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Du´aa ya kuingia chooni inasomwa kabla ya kuingia au wakati wa kuingia?
Jibu: Ni kabla ya kuingia. Aisome kabla hajaingia. Anapokuwa tayari kishaingia imechukizwa akamdhukuru Allaah ndani.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340323.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-kuingia-chooni-inasomwa-kabla-ya-kuingia/