Swali: Ni Sunnah ipi iliyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati mume anapoingia kwa mke wake?
Jibu: Miongoni mwa Sunnah mtu amshike mwanzoni mwa kichwa chake na aseme:
اللّهُـمَّ إِنَّـي أَسْـأَلُـكَ خَيْـرَها، وَخَيْـرَ ما جَبَلْـتَهَـا عَلَـيْه، وَأَعـوذُ بِكَ مِنْ شَـرِّها، وَشَـرِّ ما جَبَلْـتَهَـا عَلَـيْه
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kheri yake na kheri ya maumbile Uliyomuumba nayo na najilinda kwako kutokamana na shari yake na shari ya Uliyomuumba nayo.”
Lakini asiyaseme maneno haya kwa sauti ya juu. Kwa sababu akiyasema kwa sauti yenye kusikika huenda mwanamke akamkimbia. Lakini amshike kichwani mwake kama vile kujifanya kama anataka kumbusu halafu ndio azungumze maneno haya. Haya ndio ninayoyajua kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusiana na hili.
Vilevile pale anapotaka kumwingilia basi ni lazima kumchezesha kwanza na kumpapasa mpaka na yeye mwanamke ashikwe na matamanio kama alivyoshikwa na yeye na matamanio.
Tatu wakati anapotaka kujamiiana naye basi aseme:
بسم الله، اللهم جنبنا الشيطان وجنب الشيطان ما رزقتنا
“Kwa jina la Allaah! Ee Allaah! Tulinde na shaytwaan na Ukilinde na shaytwaan kile ulichoturuzuku.”
Akisema hivo na Allaah akawakadiria kupata mtoto, basi kamwe kabisa shaytwaan hatomdhuru.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (45) http://binothaimeen.net/content/1059
- Imechapishwa: 20/03/2019
Swali: Ni Sunnah ipi iliyothibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati mume anapoingia kwa mke wake?
Jibu: Miongoni mwa Sunnah mtu amshike mwanzoni mwa kichwa chake na aseme:
اللّهُـمَّ إِنَّـي أَسْـأَلُـكَ خَيْـرَها، وَخَيْـرَ ما جَبَلْـتَهَـا عَلَـيْه، وَأَعـوذُ بِكَ مِنْ شَـرِّها، وَشَـرِّ ما جَبَلْـتَهَـا عَلَـيْه
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kheri yake na kheri ya maumbile Uliyomuumba nayo na najilinda kwako kutokamana na shari yake na shari ya Uliyomuumba nayo.”
Lakini asiyaseme maneno haya kwa sauti ya juu. Kwa sababu akiyasema kwa sauti yenye kusikika huenda mwanamke akamkimbia. Lakini amshike kichwani mwake kama vile kujifanya kama anataka kumbusu halafu ndio azungumze maneno haya. Haya ndio ninayoyajua kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusiana na hili.
Vilevile pale anapotaka kumwingilia basi ni lazima kumchezesha kwanza na kumpapasa mpaka na yeye mwanamke ashikwe na matamanio kama alivyoshikwa na yeye na matamanio.
Tatu wakati anapotaka kujamiiana naye basi aseme:
بسم الله، اللهم جنبنا الشيطان وجنب الشيطان ما رزقتنا
“Kwa jina la Allaah! Ee Allaah! Tulinde na shaytwaan na Ukilinde na shaytwaan kile ulichoturuzuku.”
Akisema hivo na Allaah akawakadiria kupata mtoto, basi kamwe kabisa shaytwaan hatomdhuru.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (45) http://binothaimeen.net/content/1059
Imechapishwa: 20/03/2019
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-bwanaharusi-kabla-ya-kumwingilia-mke-aisome-kimyakimya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)