Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Swalah na salamu zimwendee mbora wa viumbe; Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake wote.
MAELEZO
Shaykh-ul-Islaam amemalizia kijitabu hiki kwa kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Huku ni kumaliza kuzuri. Kumswalia Mtume ni jambo limewekwa katika Shari´ah mwanzoni wa kitendo na mwishoni mwake. Amesema (Ta´ala):
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ ۚ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا
”Hakika Allaah anamsifu na Malaika wake wanamuombea msamaha Mtume. Enyi walioamini msifuni na msalimieni kwa mamkizi yaliyojaa amani.” (al-Ahzaab 33:56)
Hii ni haki ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu yetu; kumsifu na kumsalimia.
Allaah kumswalia mja Wake maana yake ni kumsifu katika walimwengu wa walioko juu.
Malaika kumswalia mja maana yake ni kwamab wanamuomba msamaha.
Swalah ya wanadamu maana yake ni kuomba du´aa. Sisi tunaposema:
“Swalah na salamu zimwendee Mtume.”
maana yake ni kwamba tunamuomba Allaah amsifu kwa walimwengu walioko juu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 203-204
- Imechapishwa: 20/03/2019
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Swalah na salamu zimwendee mbora wa viumbe; Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake wote.
MAELEZO
Shaykh-ul-Islaam amemalizia kijitabu hiki kwa kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Huku ni kumaliza kuzuri. Kumswalia Mtume ni jambo limewekwa katika Shari´ah mwanzoni wa kitendo na mwishoni mwake. Amesema (Ta´ala):
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ ۚ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا
”Hakika Allaah anamsifu na Malaika wake wanamuombea msamaha Mtume. Enyi walioamini msifuni na msalimieni kwa mamkizi yaliyojaa amani.” (al-Ahzaab 33:56)
Hii ni haki ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu yetu; kumsifu na kumsalimia.
Allaah kumswalia mja Wake maana yake ni kumsifu katika walimwengu wa walioko juu.
Malaika kumswalia mja maana yake ni kwamab wanamuomba msamaha.
Swalah ya wanadamu maana yake ni kuomba du´aa. Sisi tunaposema:
“Swalah na salamu zimwendee Mtume.”
maana yake ni kwamba tunamuomba Allaah amsifu kwa walimwengu walioko juu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 203-204
Imechapishwa: 20/03/2019
https://firqatunnajia.com/161-mwisho-wa-kitabu-sharh-nawaaqidh-il-islaam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)