Swali: Ni yapi maoni yako juu ya wingi wa mikusanyiko wa sehemu za starehe za vijana ikiwa malengo ni kwa ajili ya kulingania na kupeana nasaha?
Jibu: Mimi sipendekezi sehemu za starehe. Mimi napendekeza mikusanyiko ya misikitini. Ambaye yuko na jambo zuri la kusema basi na akaliseme na kulieneza msikitini. Akawafunze watu msikitini. Hizi sehemu za starehe, mikusanyiko ya kwenye vyumba na safari ni zenye kuweka utata. Watu wasiofaa wanaenda huko tofauti na msikitini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 17/07/2018
Swali: Ni yapi maoni yako juu ya wingi wa mikusanyiko wa sehemu za starehe za vijana ikiwa malengo ni kwa ajili ya kulingania na kupeana nasaha?
Jibu: Mimi sipendekezi sehemu za starehe. Mimi napendekeza mikusanyiko ya misikitini. Ambaye yuko na jambo zuri la kusema basi na akaliseme na kulieneza msikitini. Akawafunze watu msikitini. Hizi sehemu za starehe, mikusanyiko ya kwenye vyumba na safari ni zenye kuweka utata. Watu wasiofaa wanaenda huko tofauti na msikitini.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 17/07/2018
https://firqatunnajia.com/darsa-zinafanywa-misikitini-sio-kwenye-kumbi-za-starehe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)