Swali: Ni ipi hukumu mwanamke kuwafunza wanawake msikitini kwa njia ya kuwapa mawaidha?
Jibu: Hapana, isiwe misikitini. Hata swalah mwanamke anatakiwa kuswali nyumbani kwake. Awafunze majumbani mwao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 14/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)