Swali: Kuna mwanamke mimba yake ya miezi mitatu imeharibika. Je, damu inayomtoka inahesabiwa kuwa ni nifasi?
Jibu: Ndio. Damu inayomtoka wakati mimba inapoharibika baada ya siku thamanini, bi maana miezi miwili na siku ishirini, ni nifasi ikiwa ni damu inayotoka. Kwa kuwa ameingia ndani ya twahara ambapo mtoto kishakuwa mifupa. Siku arubaini inakuwa tone ya mbegu, arubaini nyingine inakuwa pande la nyama, kisha arubaini nyingine inakuwa mifupa. Hivyo ameingia katika twahara ambapo mtoto kishakuwa mifupa. Arubaini ya tatu kipomoko kinakuwa na hukumu ya mtoto, bi maana kwamba mimba ikiharibika na akatokwa na damu inahesabika kuwa ni nifasi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (43) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-29.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Kuna mwanamke mimba yake ya miezi mitatu imeharibika. Je, damu inayomtoka inahesabiwa kuwa ni nifasi?
Jibu: Ndio. Damu inayomtoka wakati mimba inapoharibika baada ya siku thamanini, bi maana miezi miwili na siku ishirini, ni nifasi ikiwa ni damu inayotoka. Kwa kuwa ameingia ndani ya twahara ambapo mtoto kishakuwa mifupa. Siku arubaini inakuwa tone ya mbegu, arubaini nyingine inakuwa pande la nyama, kisha arubaini nyingine inakuwa mifupa. Hivyo ameingia katika twahara ambapo mtoto kishakuwa mifupa. Arubaini ya tatu kipomoko kinakuwa na hukumu ya mtoto, bi maana kwamba mimba ikiharibika na akatokwa na damu inahesabika kuwa ni nifasi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (43) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-29.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/damu-ya-mimba-yenye-kuharibika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)