Swali: Damu inayomwagika kutoka kwenye kiwindwa inapoingia ndani ya nguo inakuwa najisi ambayo ni lazima kuiosha?
Jibu: Ndio. Aioshe. Ni kama damu nyingine yote inayotoka kwenye mishipa. Mnyama anakufa kwa damu hiyo. Kwa hiyo anatakiwa kuiosha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 01/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)