Swali: Je, mwanamke azingatie damu anayoiona baada ya kumaliza hedhi yake?
Jibu: Hapana, inakuwa ni damu ya kawaida inayokuja baada ya ada yake. Atatawadha kwa ajili ya kila swalah.
Swali: Hata kama ni damu ya hedhi?
Jibu: Ikiwa ni baada ya ada yake ni damu inayowapata wanawake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amehukumu kwa kuzingatia ada ili wanawake wapate kupumzika.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23548/هل-تعتد-المراة-بالدم-الذي-تراه-بعد-الحيضة
- Imechapishwa: 09/02/2024
Swali: Je, mwanamke azingatie damu anayoiona baada ya kumaliza hedhi yake?
Jibu: Hapana, inakuwa ni damu ya kawaida inayokuja baada ya ada yake. Atatawadha kwa ajili ya kila swalah.
Swali: Hata kama ni damu ya hedhi?
Jibu: Ikiwa ni baada ya ada yake ni damu inayowapata wanawake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amehukumu kwa kuzingatia ada ili wanawake wapate kupumzika.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23548/هل-تعتد-المراة-بالدم-الذي-تراه-بعد-الحيضة
Imechapishwa: 09/02/2024
https://firqatunnajia.com/damu-inayomtoka-mwanamke-baada-ya-hedhi/