Swali: Kila wakati ninapokuwa katika Sujuud nawoambea du´aa wazazi wangu na pia namuombea du´aa Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah). Je, kitendo chake kimesuniwa?
Jibu: Ndio, ni kizuri. Baada ya kujiombea mwenyewe na wazazi wake amwombee yule anayemtaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2020
Swali: Kila wakati ninapokuwa katika Sujuud nawoambea du´aa wazazi wangu na pia namuombea du´aa Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah). Je, kitendo chake kimesuniwa?
Jibu: Ndio, ni kizuri. Baada ya kujiombea mwenyewe na wazazi wake amwombee yule anayemtaka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 15/11/2020
https://firqatunnajia.com/daima-anawaobea-wazazi-na-anamwombea-shaykh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
