Abu Ziyaad amesema:
“Nilimuuliza ´Aaishah juu ya kula vitunguu maji. Akasema: “Ndio chakula cha mwisho alichokula Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndani yake kulikuwa na vitunguu maji.”[1]
Hadiyth hii ni geni na cheni ya wapokezi wake ni njema. Ameipokea Ahmad bin Hanbal katika “al-Musnad” yake kupitia kwa Haywah bin Shurayh, kutoka kwa Baqiyyah.
[1] Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Dhwa´iyf Sunan Abiy Daawuud” (3829).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/189)
- Imechapishwa: 15/11/2020
Abu Ziyaad amesema:
“Nilimuuliza ´Aaishah juu ya kula vitunguu maji. Akasema: “Ndio chakula cha mwisho alichokula Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndani yake kulikuwa na vitunguu maji.”[1]
Hadiyth hii ni geni na cheni ya wapokezi wake ni njema. Ameipokea Ahmad bin Hanbal katika “al-Musnad” yake kupitia kwa Haywah bin Shurayh, kutoka kwa Baqiyyah.
[1] Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Dhwa´iyf Sunan Abiy Daawuud” (3829).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/189)
Imechapishwa: 15/11/2020
https://firqatunnajia.com/chakula-cha-mwisho-alichokula-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)