Swali: Watu wengi wanapinga na kusema kwamba hawakukusudia hivo?

Jibu: Haijalishi kitu. Ajipambe kwa adabu za kidini hata kama hakukusudia. Ajilazimishe adabu za kidini. Ni lazima kwake ajichunge na matamshi yasiyotakikana kama ambavo anachunga viungo vyake.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23959/حكم-ما-شاء-الله-وفلان-دون-قصد-الشرك
  • Imechapishwa: 03/08/2024