Swali: Je, cheo chenye kusifiwa ambacho Allah (´Azza wa Jall) amemwahidi Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kimefupilizika kwa Uombezi?
Jibu: Sahihi ni kwamba cheo chenye kusifika kimeenea na inahusu kila nafasi ambayo watu wanasifiwa kwayo. Katika hayo kunaingia pia Uombezi mkuu. Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam) wataomba udhuru kutokana na jambo hilo mpaka pale itakapomfikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hapo ndipo atafanya uombezi na Allaah (´Azza wa Jall) amkubalie maombezi yake. Kwa hivyo sahihi ni kwamba cheo kinachosifiwa ni chenye kuenea.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/194)
- Imechapishwa: 26/04/2026
Swali: Je, cheo chenye kusifiwa ambacho Allah (´Azza wa Jall) amemwahidi Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kimefupilizika kwa Uombezi?
Jibu: Sahihi ni kwamba cheo chenye kusifika kimeenea na inahusu kila nafasi ambayo watu wanasifiwa kwayo. Katika hayo kunaingia pia Uombezi mkuu. Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam) wataomba udhuru kutokana na jambo hilo mpaka pale itakapomfikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hapo ndipo atafanya uombezi na Allaah (´Azza wa Jall) amkubalie maombezi yake. Kwa hivyo sahihi ni kwamba cheo kinachosifiwa ni chenye kuenea.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/194)
Imechapishwa: 26/04/2026
https://firqatunnajia.com/cheo-cha-mtume-chenye-kusifiwa/