Swali: Kuna msikiti uko shambani nje kidogo ya mji. Watu wanasikia adhaana kutoka mjini. Je, watoe adhaana?
Jibu: Ikiwa msikiti uko na muadhini ambaye ameteuliwa na wizara, basi hapana vibaya wakaadhini ingawa wanasikia adhaana kutoka katika mji.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/162)
- Imechapishwa: 26/04/2026
Swali: Kuna msikiti uko shambani nje kidogo ya mji. Watu wanasikia adhaana kutoka mjini. Je, watoe adhaana?
Jibu: Ikiwa msikiti uko na muadhini ambaye ameteuliwa na wizara, basi hapana vibaya wakaadhini ingawa wanasikia adhaana kutoka katika mji.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/162)
Imechapishwa: 26/04/2026
https://firqatunnajia.com/adhaana-mashambani/