Swali: Mtoto wangu wa kiume ameoa pasi na ushauri wangu. Matokeo yake nikamfukuza nyumbani kwangu. Je, napata dhambi kwa kuzingatia kwamba siwezi kuwahudumia?
Jibu: Umefanya makosa kumfukuza nyumbani, kwa sababu hakufanya jambo lenye dhambi. Ameoa, jambo ambalo Allaah amemhalalishia na akamwekea katika Shari´ah jambo hilo. Hakufanya jambo lenye dhambi mpaka umfukuze nyumbani. Baya linaloweza kusemwa ni kuwa hakukushauri. Lakini msamehe na puuzilia mbali. Lakini hili lisipelekee kumfukuza nyumbani.
Kuhusu matumizi ikiwa huwezi kumhudumia, basi Allaah haikalifishi nafsi zaidi ya vile inavoweza. Afanye kazi na kujaribu kujihudumia yeye mwenyewe na mke wake. Akiwa anaweza kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=PeeP5yfHfqM
- Imechapishwa: 05/03/2022
Swali: Mtoto wangu wa kiume ameoa pasi na ushauri wangu. Matokeo yake nikamfukuza nyumbani kwangu. Je, napata dhambi kwa kuzingatia kwamba siwezi kuwahudumia?
Jibu: Umefanya makosa kumfukuza nyumbani, kwa sababu hakufanya jambo lenye dhambi. Ameoa, jambo ambalo Allaah amemhalalishia na akamwekea katika Shari´ah jambo hilo. Hakufanya jambo lenye dhambi mpaka umfukuze nyumbani. Baya linaloweza kusemwa ni kuwa hakukushauri. Lakini msamehe na puuzilia mbali. Lakini hili lisipelekee kumfukuza nyumbani.
Kuhusu matumizi ikiwa huwezi kumhudumia, basi Allaah haikalifishi nafsi zaidi ya vile inavoweza. Afanye kazi na kujaribu kujihudumia yeye mwenyewe na mke wake. Akiwa anaweza kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=PeeP5yfHfqM
Imechapishwa: 05/03/2022
https://firqatunnajia.com/bwanaharusi-ametimuliwa-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)