Swali: Kubusu kunazingatiwa ni uzinzi?
Jibu: Ni uzinzi mdogo. Ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika uzinzi. Ni katika madhambi madogo.
Swali: Je, mtu anatakiwa kuaziriwa?
Jibu: Ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika uzinzi. Isipokuwa ikiwa mtu atatubu kutokana na maasi. Inaingia katika maneno Yake (Ta´ala):
إِنَّ اللَّـهَ لَا يَغْفِرُ أَن يُشْرَكَ بِهِ وَيَغْفِرُ مَا دُونَ ذَٰلِكَ لِمَن يَشَاءُ
“Hakika Allaah hasamehi kushirikishwa na anasamehe yaliyo chini ya hayo kwa Amtakae.”[1]
Inaingia katika madhambi. Kubusu, kupapasa na maneno mabaya.
[1] 04:48
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23356/هل-تعتبر-القبلة-المحرمة-من-الزنا
- Imechapishwa: 03/01/2024
Swali: Kubusu kunazingatiwa ni uzinzi?
Jibu: Ni uzinzi mdogo. Ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika uzinzi. Ni katika madhambi madogo.
Swali: Je, mtu anatakiwa kuaziriwa?
Jibu: Ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika uzinzi. Isipokuwa ikiwa mtu atatubu kutokana na maasi. Inaingia katika maneno Yake (Ta´ala):
إِنَّ اللَّـهَ لَا يَغْفِرُ أَن يُشْرَكَ بِهِ وَيَغْفِرُ مَا دُونَ ذَٰلِكَ لِمَن يَشَاءُ
“Hakika Allaah hasamehi kushirikishwa na anasamehe yaliyo chini ya hayo kwa Amtakae.”[1]
Inaingia katika madhambi. Kubusu, kupapasa na maneno mabaya.
[1] 04:48
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23356/هل-تعتبر-القبلة-المحرمة-من-الزنا
Imechapishwa: 03/01/2024
https://firqatunnajia.com/busu-ni-katika-njia-za-uzinzi/