Swali: Bora ni kuswali swalah inayopendeza ya baaada ya ijumaa nyumbani?
Jibu: Bora kuiswali nyumbani. Ambaye ataiswali msikitini hapana vibaya. Lakini bora ni kuswali Rak´ah nne kama ilivyo katika Hadiyth:
“Mwenye kutaka kuswali baada ya ijumaa basi aswali baada yake [Rak´ah] nne.”
Akiswali nyuma ni sawa na akiswali msikitini ni sawa pia. Nyumbani ndio bora zaidi. Mwenye kuswali msikitini ni sawa pia. Jambo ni lenye wasaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22539/هل-تودى-سنة-الجمعة-البعدية-في-البيت
- Imechapishwa: 17/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)