Mmeniuliza swali hilo takiban miaka mitatu Iliyopita na nikawajibu kuwa sijasema kauli ya kukata ya kufunguza au kutofunguza. Mpaka sasa – Allaah akuhifadhi – jambo hilo limekuwa ni tatizo kwangu. Naona kuwa haitakikani kwa mfungaji kuitumia kwa sababu inafanana na vifunguzi kwa baadhi ya njia. Mfungaji aliyeniuliza kuhusu utumiwaji wake nimemkataza kufanya hivo na nikasema kuwa nachelea isije kuwa ni katika vifunguzi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (04/187)
- Imechapishwa: 13/03/2024
Mmeniuliza swali hilo takiban miaka mitatu Iliyopita na nikawajibu kuwa sijasema kauli ya kukata ya kufunguza au kutofunguza. Mpaka sasa – Allaah akuhifadhi – jambo hilo limekuwa ni tatizo kwangu. Naona kuwa haitakikani kwa mfungaji kuitumia kwa sababu inafanana na vifunguzi kwa baadhi ya njia. Mfungaji aliyeniuliza kuhusu utumiwaji wake nimemkataza kufanya hivo na nikasema kuwa nachelea isije kuwa ni katika vifunguzi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (04/187)
Imechapishwa: 13/03/2024
https://firqatunnajia.com/bora-kwa-mfungaji-kuepuka-kudungwa-sindano/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)