Swali: Ni lipi bora; kuziacha ndevu kama zilivvo ikiwa ni nyeupe au kuzigeuza rangi?
Jibu: Bora ni kuzigeuza rangi. Hata hivyo akiziacha hali ya kuwa nyeupe ni sawa. Maswahabah kulikuwa wenye kugeuza na wengine wanaacha. Haina neno zikiachwa hali ya kuwa ni nyeupe. Sisi tumewakuta wanachuoni hawageuzi na mmoja wao ni Shaykh Muhammad bin Ibraahiym, Shaykh [´Abdur-Rahmaan] as-Sa´diy na Shaykh ´Abdul-Latwiyf bin Ibraahiym. Wamefanya jambo linalojuzu na wameacha lililo bora.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-14.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Ni lipi bora; kuziacha ndevu kama zilivvo ikiwa ni nyeupe au kuzigeuza rangi?
Jibu: Bora ni kuzigeuza rangi. Hata hivyo akiziacha hali ya kuwa nyeupe ni sawa. Maswahabah kulikuwa wenye kugeuza na wengine wanaacha. Haina neno zikiachwa hali ya kuwa ni nyeupe. Sisi tumewakuta wanachuoni hawageuzi na mmoja wao ni Shaykh Muhammad bin Ibraahiym, Shaykh [´Abdur-Rahmaan] as-Sa´diy na Shaykh ´Abdul-Latwiyf bin Ibraahiym. Wamefanya jambo linalojuzu na wameacha lililo bora.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-14.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/bora-kugeuza-ndevu-au-kuziacha-mvi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)