Swali: Mwenye kufanya kitu katika machafu kisha akatubu kwa Allaah, hali yake ikanyooka na akajifunza elimu kutoka kwa wanachuoni. Je, bora kwake ni yeye kuitakasa nafsi yake kwa kusimamishiwa adhabu?
Jibu: Hapana. Aisitiri nafsi yake. Tawbah inatosha. Midhali Allaah amemsitiri basi na yeye aisitiri nafsi yake. Tawbah inatosha na himdi zote anastahiki Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Mwenye kufanya kitu katika machafu kisha akatubu kwa Allaah, hali yake ikanyooka na akajifunza elimu kutoka kwa wanachuoni. Je, bora kwake ni yeye kuitakasa nafsi yake kwa kusimamishiwa adhabu?
Jibu: Hapana. Aisitiri nafsi yake. Tawbah inatosha. Midhali Allaah amemsitiri basi na yeye aisitiri nafsi yake. Tawbah inatosha na himdi zote anastahiki Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/bora-asimamishiwe-adhabu-au-aisitiri-nafsi-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)