Swali: Mtunzi wa kitabu (Rahimahu Allaah) amesema kuwa haifai kuuza vitu visivyokuwa na maana na akaleta mfano wa wadudu. Je, inafaa kuuza nzige au zimebaguliwa?
Jibu: Nzige zinaliwa:
”Tumehalalishiwa maiti aina mbili na damu aina mbili. Ama maiti mbili ni samaki na nzige, na ama damu mbili ni bandama na ini.”[1]
Ikiwa haijuzu kufanya biashara ya nzige basi haijuzu pia kufanya biashara ya samaki. Inafaa kufanya biashara ya nzige kwa sababu ni zenye kuliwa na ni katika vitu halali.
[1] Ahmad (5690) na Ibn Maajah (3314).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 17/04/2021
Swali: Mtunzi wa kitabu (Rahimahu Allaah) amesema kuwa haifai kuuza vitu visivyokuwa na maana na akaleta mfano wa wadudu. Je, inafaa kuuza nzige au zimebaguliwa?
Jibu: Nzige zinaliwa:
”Tumehalalishiwa maiti aina mbili na damu aina mbili. Ama maiti mbili ni samaki na nzige, na ama damu mbili ni bandama na ini.”[1]
Ikiwa haijuzu kufanya biashara ya nzige basi haijuzu pia kufanya biashara ya samaki. Inafaa kufanya biashara ya nzige kwa sababu ni zenye kuliwa na ni katika vitu halali.
[1] Ahmad (5690) na Ibn Maajah (3314).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 17/04/2021
https://firqatunnajia.com/biashara-ya-nzige/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket