Swali: Mwanaume ameharamishiwa kuvaa dhahabu. Je, inafaa kuwauzia cheni za shingoni wanamme?
Jibu: Hapana, haijuzu ikiwa malengo wanamme wazivae, kufanya hivo ni kusaidiana katika madhambi na uadui. Lakini kama anamnunulia mke wake au msichana wake, hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 17/04/2021
Swali: Mwanaume ameharamishiwa kuvaa dhahabu. Je, inafaa kuwauzia cheni za shingoni wanamme?
Jibu: Hapana, haijuzu ikiwa malengo wanamme wazivae, kufanya hivo ni kusaidiana katika madhambi na uadui. Lakini kama anamnunulia mke wake au msichana wake, hakuna neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 17/04/2021
https://firqatunnajia.com/kuwauzia-wanamme-cheni-za-shingoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)