Swali: Balbu na taa mbele ya wenye kuswali?
Jibu: Tahadhari zaidi ni ikiwepesika zikawa upande wao wa kulia, kushoto au kwa nyuma yao. Lakini haja ikipelekea kufanya hivo basi machukizo yanaondoka wakati kunapokuwa na haja.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23625/ما-حكم-جعل-اللمبات-امام-المصلين
- Imechapishwa: 01/03/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket