Swali: Je, Bahaa-iyyah Bid´ah yao ni ya kufuru?
Jibu: Bila ya shaka. Bahaa-iyyah ni wale wanaidai kuwa Allaah Ameingia katika viumbe – Ametakasika Allaah na yale wanayoyasema. Bahaa-iyyah wanaonelea kuwa Allaah ameingia katika baadhi ya waja Wake. Huluuliyyah wao wanaonelea kuwa Allaah yuko kila mahali na hayuko juu mbinguni na wala hakulingana juu ya ´Arshi. Wanaonelea kuwa yuko kila mahali. Hawa ni Huluuliyyah kwa kuwa wanaonelea kuwa Allaah ameingia katika kila kitu – Ametakasika Allaah na yale wanayoyasema.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)