Utambuzi wa watu kwa kuwaangalia tu

Swali: Kuna watu wanaodai kuwa wanaweza kujua utu wa mtu na ugonjwa alonao kwa kuangalia tu msitari anaopiga kwenye karatasi. Je, mtu amsadikishe mwenye kudai kujua hilo kwa sababu wameanza kuenea kwenye TV?

Jibu: Yote haya ni uvumi na uongo. Mtu hawezi kutambulika isipokuwa kupitia matendo yake na kutangamana naye na si kwa kuangalia tu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
  • Imechapishwa: 18/06/2015