Swali: Ni ipi hukumu kuwafarikisha khaswa vijana wa Ahl-us-Sunnah na wengineo katika Ahl-us-Sunnah kwa ujumla ambapo baadhi yao wakawaita wengine baadhi ya majina bandia na mfarakano wa kimakundi?
Jibu: Hawawi ni katika Ahl-us-Sunnah isipokuwa wakiwa pamoja na hawagawanyiki. Midhali wote ni Ahl-us-Sunnah basi ni kundi moja. Wakiingia katika makundi hawawi tena Ahl-us-Sunnah. Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah hata kama kati yao kunaweza kutokea tofauti katika baadhi ya masuala ya Fiqh yanayotokana na Ijtihaad katika mataga. Muda wa kuwa ´Aqiydah yao ni moja bado ni kundi moja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 46
- Imechapishwa: 29/05/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)