Swali: Imani kwa mujibu wa madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah inayo kiwango katika madhambi. Anayeshuka chini ya kiwango hichi anakufuru. Kiwango hicho ni kipi?
Jibu: Kiwango cha uchache wake ni mbegu ya hardali. Hivo ndivo alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)[1]. Hakuna imani yoyote baada ya mbegu ya hardali.b
[1] Muslim (50).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 46
- Imechapishwa: 29/05/2021
Swali: Imani kwa mujibu wa madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah inayo kiwango katika madhambi. Anayeshuka chini ya kiwango hichi anakufuru. Kiwango hicho ni kipi?
Jibu: Kiwango cha uchache wake ni mbegu ya hardali. Hivo ndivo alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)[1]. Hakuna imani yoyote baada ya mbegu ya hardali.b
[1] Muslim (50).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 46
Imechapishwa: 29/05/2021
https://firqatunnajia.com/kiwango-cha-uchache-cha-imani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)