Swali: Msichana kabla ya kuolewa kwake alipewa mali na akaimpa mama yake ambapo mama yake alizitumia. Je, inajuzu kwa mama kufanya hivo?
Jibu: Hapana, haijuzu. Hizi ni pesa za msichana na haijuzu kwa mama kuzitumia isipokuwa kwa idhini yake. Baba ndiye ana haki ya kuchukua katika mali ya mtoto wake midhali haimdhuru mtoto na hahitajii. Hii ni haki ya baba tu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (56) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-12-30.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Msichana kabla ya kuolewa kwake alipewa mali na akaimpa mama yake ambapo mama yake alizitumia. Je, inajuzu kwa mama kufanya hivo?
Jibu: Hapana, haijuzu. Hizi ni pesa za msichana na haijuzu kwa mama kuzitumia isipokuwa kwa idhini yake. Baba ndiye ana haki ya kuchukua katika mali ya mtoto wake midhali haimdhuru mtoto na hahitajii. Hii ni haki ya baba tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (56) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-12-30.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/baba-ndiye-ana-haki-ya-kutumia-mali-ya-mwanae-si-mama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)