Swali: Mimi ni mtu ninaishi na baba yangu nyumbani kwake na nimeoa na nina watoto. Je, inafaa kwa baba yangu kunitolea Zakaat-ul-Fitwr mimi na watoto wangu?
Jibu: Hapana neno baba yako akikutolea Zakaat-ul-Fitwr wewe, watoto wako na mke wako. Itasihi. Lakini bora ni wewe kujitolea mwenyewe na kwa wale walioko chini yako kwa sababu wewe ndiye umezungumzishwa jambo hilo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Swaalih al-Fawzaan
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (19226)
- Imechapishwa: 12/05/2022
Swali: Mimi ni mtu ninaishi na baba yangu nyumbani kwake na nimeoa na nina watoto. Je, inafaa kwa baba yangu kunitolea Zakaat-ul-Fitwr mimi na watoto wangu?
Jibu: Hapana neno baba yako akikutolea Zakaat-ul-Fitwr wewe, watoto wako na mke wako. Itasihi. Lakini bora ni wewe kujitolea mwenyewe na kwa wale walioko chini yako kwa sababu wewe ndiye umezungumzishwa jambo hilo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Swaalih al-Fawzaan
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (19226)
Imechapishwa: 12/05/2022
https://firqatunnajia.com/baba-kumtolea-zakaat-ul-fitwr-mwanae-na-wajukuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket