Swali: Je, inajuzu kwa baba kuchukua mahari ya msichana wake bila ya ridhaa yake?
Jibu: Akihitajia hili – na hili ni maalum kwake – achukue mahari ya msichana wake kiasi ambacho hakitomdhuru na asichohitajia. Achukue kile cha juu kilichozidi katika haja yake maadamu hamdhuru.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-01-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Je, inajuzu kwa baba kuchukua mahari ya msichana wake bila ya ridhaa yake?
Jibu: Akihitajia hili – na hili ni maalum kwake – achukue mahari ya msichana wake kiasi ambacho hakitomdhuru na asichohitajia. Achukue kile cha juu kilichozidi katika haja yake maadamu hamdhuru.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo-01-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/baba-kuchukua-mahari-ya-binti-yake/