Swali: Mwenye kukumbuka baada ya swalah kuwa amekula nyama ya ngamia ni lazima arudi kuswali?
Jibu: Ndio, kwa kuwa wudhuu wake umetenguka kwa kula nyama ya ngamia. Aliulizwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kama mtu anatakiwa kutawadha kwa kula nyama ya ngamia ambapo akajibu kwa kusema:
“Ndio.”
Akikumbuka kuwa ameswali na hakutawadha baada ya kula nyama ya ngamia anatakiwa kutawadha tena na kuirudi swalah yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13379
- Imechapishwa: 24/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket