Mtu akitoa zakaah kumpa mtu ambaye anafikiri kuwa ni miongoni mwa wale wanaostahiki kupewa zakaah na baadaye ikaja kubainika kuwa ni tajiri na sio miongoni mwa wanaostahiki kupewa zakaah, basi zakaah yake inatosheleza na ni yenye kukubalika na dhimmah yake imesafika. Kwa sababu alinuia kumpa yule ambaye inamstahikia. Akinuia ana nia yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/40)
- Imechapishwa: 18/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)