Swali: Vipi niswali endapo nitaswali Witr mwanzoni mwa usiku kisha nikaamka kuswali mwishoni mwa usiku?
Jibu: Ukiswali Witr mwanzoni mwa usiku kisha Allaah akamfanyia wepesi wa kusimama mwishoni mwake, basi aswali yale ambayo Allaah amekufanyia wepesi shufwa pasi na Witr tena. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna Witr mbili katika usiku mmoja.”
Pia imethibiti kupitia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali Rak´ah mbili baada ya Witr hali ya kuwa ameketi chini. Hekima ya hilo – Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kuwabainishia watu kufaa kuswali baada ya Witr.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/311)
- Imechapishwa: 04/11/2021
Swali: Vipi niswali endapo nitaswali Witr mwanzoni mwa usiku kisha nikaamka kuswali mwishoni mwa usiku?
Jibu: Ukiswali Witr mwanzoni mwa usiku kisha Allaah akamfanyia wepesi wa kusimama mwishoni mwake, basi aswali yale ambayo Allaah amekufanyia wepesi shufwa pasi na Witr tena. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna Witr mbili katika usiku mmoja.”
Pia imethibiti kupitia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali Rak´ah mbili baada ya Witr hali ya kuwa ameketi chini. Hekima ya hilo – Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kuwabainishia watu kufaa kuswali baada ya Witr.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/311)
Imechapishwa: 04/11/2021
https://firqatunnajia.com/aswali-vipi-aliyeswali-witr-mwanzoni-mwa-usiku-akaamka-tena-usiku/