Swali: Kuna mtu yuko jangwani na hana maji na kwenye nguo yake kuna najisi. Afanye nini kwa nisba ya swalah?
Jibu: Aswali na nguo zake. Afanye Tayammum na aswali na nguo zake. Asiswali uchi. Ni mwenye kupewa udhuru.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23724/كيف-يصلي-من-كان-بالصحراء-وفي-ثوبه-نجاسة
- Imechapishwa: 13/04/2024
Swali: Kuna mtu yuko jangwani na hana maji na kwenye nguo yake kuna najisi. Afanye nini kwa nisba ya swalah?
Jibu: Aswali na nguo zake. Afanye Tayammum na aswali na nguo zake. Asiswali uchi. Ni mwenye kupewa udhuru.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23724/كيف-يصلي-من-كان-بالصحراء-وفي-ثوبه-نجاسة
Imechapishwa: 13/04/2024
https://firqatunnajia.com/aswali-vipi-aliyeko-jangwani-na-kwenye-nguo-zake-kuna-najisi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)