´Uqbah bin ´Alqamah amesema:
“Nilikuwa nyumbani kwa Artwa´ah bin al-Mundhir pindi mtu mmoja kwenye kikao alisema: “Mnasemaje juu ya mtu mwenye kutangamana na yuko pamoja na Ahl-us-Sunnah, lakini pindi Ahl-ul-Bid´ah wanapokuja anasema: “Tupeni amani na kuwazungumzia. Msiwataje.”? Artwa´ah akasema: “Ni katika wao. Usidanganyike nao.” Sikuridhika na maneno ya Artwa´ah ndipo nikawa nimeenda kwa al-Awzaa´iy ambaye alikuwa ni mjuzi wa mambo haya. Akasema: “Artwa´ah amepatia. Mambo ni kama alivyosema. Yule pale anakataza wasitajwe. Vipi mtu atawaepuka ikiwa hawatajwi?”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin Thaabit al-Khatwiyb al-Baghdaadiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Taariykh Dimashq (8/15)
- Imechapishwa: 06/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket