Swali: Asiyesikia Khutbah kutokana na kuwa kwake mbali na Imamu ni wajibu kwake kunyamaza na asizungumze?
Jibu: Hapana. Asiyemsikia Imamu kutokana na umbali wake hakuna neno akazungumza kwa kukosekana kipingamizi. Ama ikiwa hamsikii Imamu kutokana na kasoro katika kusikia, hapana, huyu haijuzu kwake kuzungumza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Asiyesikia Khutbah kutokana na kuwa kwake mbali na Imamu ni wajibu kwake kunyamaza na asizungumze?
Jibu: Hapana. Asiyemsikia Imamu kutokana na umbali wake hakuna neno akazungumza kwa kukosekana kipingamizi. Ama ikiwa hamsikii Imamu kutokana na kasoro katika kusikia, hapana, huyu haijuzu kwake kuzungumza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/asiyemsikia-imamu-kabisa-kuzungumza-wakati-wa-khutbah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket