Swali: Ni ipi hukumu ya kumpa mkono wa pole mtu wa Bid´ah kama Shiy´ah wanapofiwa na mtu pamoja na kujua kuwa ni jirani yetu?
Jibu: Kwa kweli hili linahitaji kuangaliwa na kuzingatiwa. Jirani ana haki zake. Ni qadhiya inayohitajia kuangaliwa na mtu kukomeka.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=11649
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kumpa mkono wa pole mtu wa Bid´ah kama Shiy´ah wanapofiwa na mtu pamoja na kujua kuwa ni jirani yetu?
Jibu: Kwa kweli hili linahitaji kuangaliwa na kuzingatiwa. Jirani ana haki zake. Ni qadhiya inayohitajia kuangaliwa na mtu kukomeka.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=11649
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/ar-raajihiy-kuhusu-taazia-kwa-watu-wa-bidah-majirani/