Swali: Ni ipi ´Aqiydah ya Ibn Siynaa? Je, alikufa katika Uislamu au katika ukafiri?
Jibu: ´Aqiydah ya Ibn Siynaa ni Ismaa´iliyyah. Hivyo ndivyo alivyosema Shaykh-ul-Islaam na akamraddi. Shaykh-ul-Islaam amemraddi vya kutosha Ibn Siynaa na kusema kuwa ni Ismaa´iliy. Baba yake alikuwa ni myahudi. Yeye Ibn Siynaa alisilimu lakini hata hivyo alikuwa akifuata madhehebu ya Ismaa´iliyyah.
Kuhusu kile alichokufa juu yake Allaah ndiye anajua zaidi. Mimi sijui.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
- Imechapishwa: 27/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)