Swali: Mwanachuoni katika Ahl-us-Sunnah akikubaliana na moja katika mambo ya ´Aqiydah ya Ahl-ul-Bid´ah, anazingatiwa kuwa ni mmoja katika wao?
Jibu: Ndio. Akikubaliana na wao katika moja katika mambo ya I´tiqaad na moja katika misingi ya ´Aqydah anakuwa mtu wa Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-5-11-1435.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)