Swali: Anayeamka mwishoni mwa wakati aanze kuswali swalah ya faradhi?
Jibu: Hapana, ataswali Raatibah kisha ndio aswali faradhi:
“Yule mwenye kupitikiwa na usingizi au akaisahau swalah, basi aiswali pale atapoikumbuka. Haina kafara nyingine isipokuwa hiyo.”[1]
Huu ndio wakati wake.
Swali: Hu ndio wakati wake lakini ataiswali kwa njia ya kuilipa?
Jibu: Kuna usahali katika jambo hilo. Ni mamoja ataita kuwa ni kuilipa au kuitekeleza. Jambo ni lenye usahali. Haidhuru.
[1] al-Bukhaariy (597) na Muslim (684).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23685/هل-يبدا-بالفريضة-ام-الراتبة-في-اخر-الوقت
- Imechapishwa: 30/03/2024
Swali: Anayeamka mwishoni mwa wakati aanze kuswali swalah ya faradhi?
Jibu: Hapana, ataswali Raatibah kisha ndio aswali faradhi:
“Yule mwenye kupitikiwa na usingizi au akaisahau swalah, basi aiswali pale atapoikumbuka. Haina kafara nyingine isipokuwa hiyo.”[1]
Huu ndio wakati wake.
Swali: Hu ndio wakati wake lakini ataiswali kwa njia ya kuilipa?
Jibu: Kuna usahali katika jambo hilo. Ni mamoja ataita kuwa ni kuilipa au kuitekeleza. Jambo ni lenye usahali. Haidhuru.
[1] al-Bukhaariy (597) na Muslim (684).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23685/هل-يبدا-بالفريضة-ام-الراتبة-في-اخر-الوقت
Imechapishwa: 30/03/2024
https://firqatunnajia.com/anayeamka-mwishoni-mwa-wakati-wa-swalah-anaanza-na-faradhi-au-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)