Swali: Je, mwenye kuachwa swalah atadumishwa Motoni milele? Ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Ndio. Maoni sahihi ni kwamba atadumishwa Motoni milele. Hili ni kujengea maoni sahihi yanayosema kwamba kuacha swalah ni ukafiri mkubwa na kwamba kunamtoa katika Uislamu. Kafiri ambaye ametoka katika Uislamu atadumishwa Motoni milele. Kuna Aayah nyingi ambazo zimethibitisha kwamba makafiri watadumishwa Motoni milele.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/01.mp3
- Imechapishwa: 03/08/2018
Swali: Je, mwenye kuachwa swalah atadumishwa Motoni milele? Ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Ndio. Maoni sahihi ni kwamba atadumishwa Motoni milele. Hili ni kujengea maoni sahihi yanayosema kwamba kuacha swalah ni ukafiri mkubwa na kwamba kunamtoa katika Uislamu. Kafiri ambaye ametoka katika Uislamu atadumishwa Motoni milele. Kuna Aayah nyingi ambazo zimethibitisha kwamba makafiri watadumishwa Motoni milele.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/01.mp3
Imechapishwa: 03/08/2018
https://firqatunnajia.com/anayeacha-swalah-atadumishwa-motoni-milele-bado-wasubiri-nini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)