Swali: Kuna mtu yuko I´tikaaf na anataka kumfanyia ´Umrah baba yake. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ikiwa I´tikaaf yake imewekewa nadhiri na kikomo kwa muda maalum, basi analazimika kukamilisha I´tikaaf yake. Kwa sababu ni lazima kutimiza nadhiri ya utiifu. Na kama I´tikaaf yake ni ya kujitolea tu, basi akitaka ataikamilisha, na akitaka ataikata na kufanya ´Umrah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/446)
- Imechapishwa: 15/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)