Swali: Je, kiwandwa kinakuwa ni halali kwa ambaye amekumbuka kutaja jina la Allaah punde tu kabla ya mbwa wa mawindo kukamata kiwindwa?
Jibu: Hapana. Anatakiwa kutaja pale anapomwagiza. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ukimwagiza mbwa wako aliyefunzwa na ukataja jina la Allaah, basi kula.”[1]
Bi maana pale unapomtuma. Hafai na haitoshi kutaja jina la Allaah baada ya kwamba umeshamtuma mbwa.
[1] Muslim (1929).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 16/11/2023
Swali: Je, kiwandwa kinakuwa ni halali kwa ambaye amekumbuka kutaja jina la Allaah punde tu kabla ya mbwa wa mawindo kukamata kiwindwa?
Jibu: Hapana. Anatakiwa kutaja pale anapomwagiza. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ukimwagiza mbwa wako aliyefunzwa na ukataja jina la Allaah, basi kula.”[1]
Bi maana pale unapomtuma. Hafai na haitoshi kutaja jina la Allaah baada ya kwamba umeshamtuma mbwa.
[1] Muslim (1929).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 16/11/2023
https://firqatunnajia.com/anataka-jina-la-allaah-baada-ya-kumtuma-mbwa-wa-mawindo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)