Swali: Mwanaume akimtaliki mwanamke katika maradhi ya maututi kwa lengo la kumnyima mirathi – je, mke atamrithi ingawa ameshatoka ndani ya eda?
Jibu: Hapana ikiwa ameshatoka ndani ya eda. Sio mke tena. Akishatoka ndani ya eda sio mke tena. Lakini muda wa kuwa yuko ndani ya eda anazingatiwa bado ni mke.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
- Imechapishwa: 28/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket