Swali: Nikimshuku mtu kuwa anataka kununua bidhaa kutoka kwangu ili aitumie katika jambo la haramu. Lakini nisiwe na uhakika juu ya jambo hilo, lakini huo ndio udhahiri wake.
Jibu: Usimuuzie. Usimuuzie angalau kwa uchache kuepuka mambo ya shubuha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 14/04/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket