Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Yule mwenye kuapa na akasema:
“Mimi najitenga mbali na Uislamu.”
Akiwa ni mwongo basi mambo ni kama alivosema na akiwa ni mkweli basi hatorudi katika Uislamu akiwa salama.”[1]
Je, anatoka nje ya Uislamu?
Jibu: Ni kwa njia ya matishio.
Swali: Kwa hivyo hakufuru?
Jibu: Hapana. Ni kwa njia ya makemeo. Ni kama kama alivosema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule mwenye kuapa kwa amana si katika mimi.”
Ni kwa njia ya makemeo:
“Si katika mimi yule atayejipiga mashavu, akapasua nguo na akaita wito wa kipindi cha kikafiri.”[2]
[1] Abu Daawuud (3258) na tamko ni lake, an-Nasaa´iy (3772), Ibn Maajah (2100) na Ahmad (23006).
[2] al-Bukhaariy /(1212) na tamko ni lake, na Muslim (148).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22060/معنى-حديث-ان-كان-كاذبا-فهو-كما-قال
- Imechapishwa: 25/10/2022
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Yule mwenye kuapa na akasema:
“Mimi najitenga mbali na Uislamu.”
Akiwa ni mwongo basi mambo ni kama alivosema na akiwa ni mkweli basi hatorudi katika Uislamu akiwa salama.”[1]
Je, anatoka nje ya Uislamu?
Jibu: Ni kwa njia ya matishio.
Swali: Kwa hivyo hakufuru?
Jibu: Hapana. Ni kwa njia ya makemeo. Ni kama kama alivosema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule mwenye kuapa kwa amana si katika mimi.”
Ni kwa njia ya makemeo:
“Si katika mimi yule atayejipiga mashavu, akapasua nguo na akaita wito wa kipindi cha kikafiri.”[2]
[1] Abu Daawuud (3258) na tamko ni lake, an-Nasaa´iy (3772), Ibn Maajah (2100) na Ahmad (23006).
[2] al-Bukhaariy /(1212) na tamko ni lake, na Muslim (148).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22060/معنى-حديث-ان-كان-كاذبا-فهو-كما-قال
Imechapishwa: 25/10/2022
https://firqatunnajia.com/anakufuru-anayekana-uislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)