280 – Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
يبنما رسول الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ – يخطب يوماً، إذ رأى نُخامةً في قِبلةِ المسجدِ، فتغيظَ على الناسِ، ثم حكَّها، -قال: وأحسبُهُ قال:- فدعا بِزَعفَرانٍ فَلَطَخَهُ به وقال:
“إنّ الله عز وجل قِبَلَ وجه أحدكم إذا صلّى، فلا يَبصق بين يديه”
“Siku moja wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikhutubia aliona makohozi upande wa Qiblah cha msikiti. Akawakasirikia watu kisha akayasugua. Nadhani kuwa aliitisha zafarani na akaipaka halafu akasema: “Hakika Allaah (´Azza wa Jall) yuko upande wa Qiblah cha mmoja wenu anaposwali. Hivyo msiteme mate mbele yenu.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Abu Daawuud na upokezi ni wake.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/232)
- Imechapishwa: 25/10/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
280 – Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
يبنما رسول الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ – يخطب يوماً، إذ رأى نُخامةً في قِبلةِ المسجدِ، فتغيظَ على الناسِ، ثم حكَّها، -قال: وأحسبُهُ قال:- فدعا بِزَعفَرانٍ فَلَطَخَهُ به وقال:
“إنّ الله عز وجل قِبَلَ وجه أحدكم إذا صلّى، فلا يَبصق بين يديه”
“Siku moja wakati Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikhutubia aliona makohozi upande wa Qiblah cha msikiti. Akawakasirikia watu kisha akayasugua. Nadhani kuwa aliitisha zafarani na akaipaka halafu akasema: “Hakika Allaah (´Azza wa Jall) yuko upande wa Qiblah cha mmoja wenu anaposwali. Hivyo msiteme mate mbele yenu.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Abu Daawuud na upokezi ni wake.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/232)
Imechapishwa: 25/10/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-siku-moja-wakati-mtume-wa-allaah-alikuwa-akikhutubia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)