Swali: Mwanamke akichukia kutoka kwa mume wake tabia fulani. Je, inafaa kwake kuomba kufutwa kwa ndoa?

Jibu: Hapana, muda wa kuwa tabia hiyo sio maasi. Anatakiwa kumsubiria kama ambavo yeye mume pia anatakiwa kumsubiria ikiwa mke ana tabia fulani mbaya. Wanatakiwa kuvumiliana.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
  • Imechapishwa: 21/07/2023