Swali: Mwanamke akichukia kutoka kwa mume wake tabia fulani. Je, inafaa kwake kuomba kufutwa kwa ndoa?
Jibu: Hapana, muda wa kuwa tabia hiyo sio maasi. Anatakiwa kumsubiria kama ambavo yeye mume pia anatakiwa kumsubiria ikiwa mke ana tabia fulani mbaya. Wanatakiwa kuvumiliana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 21/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)