Kasoro inayojuzisha kufutwa kwa ndoa

Swali: Kuna kigezo kipi kinachojuzisha kuifuta ndoa?

Jibu: Kasoro inayofanya kupungua haki ya mmoja kwa mwingine, huo ni udhuru sahihi kwa mmoja katika wanandoa kufuta ndoa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
  • Imechapishwa: 21/07/2023