Swali: Iwapo mmoja wa wanandoa atakuta kuwa mwenzi mwingine ana shinikizo la damu au maradhi ya kisukari, je, mwenzi huyo anaruhusiwa kufuta ndoa?
Jibu: Ikiwa hilo linamdhuru au linapunguza haki yake, basi ana haki ya kuifuta ndoa. Lakini ikiwa jambo hilo halipunguzi chochote katika haki yake, haifai kwake kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 21/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)